Wanajamvi, naombeni mnisaidie,
Mtoto wangu wa kike anamaliza darasa la saba mwaka huu. Nisaidieni kupata shule bora. Iwe Arusha au Moshi:
1. Iwe shule yenye kuzingatia maadili
2. Inayofanya vizuri ki academic
3. Ikiwa ya mchepuo wa sayansi ni bora zaidi
4. Napendelea zaidi shule za Catholic.