Natafuta shamba kwa ajili ya ufugaji kuku

Natafuta shamba kwa ajili ya ufugaji kuku

Zipo ekari tatu za wazi. Unaweza kukunua au kukodisha. Mimi nafuga ktk eneo la ekari 20 nyingine. Nina mashine za kutotolea vifaranga karibu na shamba. Shamba lipo umbali wa km 2 kutoka barabara kuu iendayo Tanga mjini. Shamba lipo km 16 kutoka Tanga mjini. Nipigie 0658 288 733. Nataka jirani ili tuwe na economies of scale. Ofa hii mwisho ni tarehe 30 April. Baada ya hapo naweza kuwa na mipango mingine.
Tanga maeneo gani unafuga mkuu vp huuzi vifaranga? Namim ni watanga
 
Wadau naulizia utapatikanaji wa shamba la kufuga kuku, either katika mikoa Dar, Arusha, Moshi, Pwani(Ruvu) Tanga, Moro hata Singida, sehemu moja wapo.
Kama lipo mniambie na gharama za kukodi, nahitaji msaada wenu, maana hapa naandika project upatikanaji wa eneo ndo unazingua, tusaidiane hatushindwana hata kwa soda.

Kuku hao ni wa kienyeji na kisasa, kiasi cha shamba ni heka moja au mbili.

Asante
Mkuu karibu Moro, Nina ekari tano, naweza kukukodishia ekari mbili kwa tsh 50,000/= tu. Eneo lipo nje ya mji.
 
Nichek inbox, Arusha patakufaa, maana kwetu huku nyama sio mboga bali ni chakula hapo nazungumzia soko ni uhakika wa mazao ya kuku.

Pia pana viwanda vya kuprocess nyama ya kuku, miundombinu muhimu ipo nk.
 
Samahan kutoka nje ya makusudio. Me ninauza shamba maeneo ya kibiti ni zuri kwa ajili ya kilimo. ziko ekari 30 kwa pamoja... mwenye kuhitaji anipm.

Kibiti ni wapi na eka moja unauza bei gani??
 
Samahan kutoka nje ya makusudio. Me ninauza shamba maeneo ya kibiti ni zuri kwa ajili ya kilimo. ziko ekari 30 kwa pamoja... mwenye kuhitaji anipm.
Bei gani kwa hekari??
Lakini pia mtu akitaka kuchukua lote kwa mkupuo ni kiasi gani??
Liko kibiti maeneo gani, maana kama liko njia panda ya kwenda Mkongo njia ya kwenda Rubada kule litanifaa sana
 
Samahan kutoka nje ya makusudio. Me ninauza shamba maeneo ya kibiti ni zuri kwa ajili ya kilimo. ziko ekari 30 kwa pamoja... mwenye kuhitaji anipm.
PM utapeli mwingi, weka bei hapa
 
Mkuu limefyekwa? upatikanaji wa maji ukoje?
Mkuu limefyekwa ekari zote tano vizuri, nafanya mchakato wa kung'oa visiki. Kuhusu Maji kuna bwawa lenye Maji safi ila lipo kama kilomita moja kutoka shambani kwangu, ila ukichimba kisima kuna Maji mengi tu maeneo yale.
 
Wadau naulizia utapatikanaji wa shamba la kufuga kuku, either katika mikoa Dar, Arusha, Moshi, Pwani(Ruvu) Tanga, Moro hata Singida, sehemu moja wapo.
Kama lipo mniambie na gharama za kukodi, nahitaji msaada wenu, maana hapa naandika project upatikanaji wa eneo ndo unazingua, tusaidiane hatushindwana hata kwa soda.

Kuku hao ni wa kienyeji na kisasa, kiasi cha shamba ni heka moja au mbili.


Tuwasiliane mkuu 0715/0754- 934398 tuwasiliane kuna eneo linamiundombinu ambayo haijakamilika.
 
Mkuu limefyekwa ekari zote tano vizuri, nafanya mchakato wa kung'oa visiki. Kuhusu Maji kuna bwawa lenye Maji safi ila lipo kama kilomita moja kutoka shambani kwangu, ila ukichimba kisima kuna Maji mengi tu maeneo yale.
Nipm namba mkuu
 
Kaka kuna maeneo
Wadau naulizia utapatikanaji wa shamba la kufuga kuku, either katika mikoa Dar, Arusha, Moshi, Pwani(Ruvu) Tanga, Moro hata Singida, sehemu moja wapo.
Kama lipo mniambie na gharama za kukodi, nahitaji msaada wenu, maana hapa naandika project upatikanaji wa eneo ndo unazingua, tusaidiane hatushindwana hata kwa soda.

Kuku hao ni wa kienyeji na kisasa, kiasi cha shamba ni heka moja au mbili.

Asante
Kaka kuna maeneo bagamoyo yanauzwa kwa being nafuu Heka lak8, na mengine two km kutoka main road yanauzwa mili2 kwa Heka.pia kampuni inakopesha bila riba then unamalizia deni lako kwa awam adi miez7.
 
Kaka kuna maeneo

Kaka kuna maeneo bagamoyo yanauzwa kwa being nafuu Heka lak8, na mengine two km kutoka main road yanauzwa mili2 kwa Heka.pia kampuni inakopesha bila riba then unamalizia deni lako kwa awam adi miez7.
0757783401
 
Nichek kwa 0687546140 nina ekari za kutosha niko tanga.
 
Nichek kwa 0687546140 nina ekari za kutosha niko tanga.
Wadau naulizia utapatikanaji wa shamba la kufuga kuku, either katika mikoa Dar, Arusha, Moshi, Pwani(Ruvu) Tanga, Moro hata Singida, sehemu moja wapo.
Kama lipo mniambie na gharama za kukodi, nahitaji msaada wenu, maana hapa naandika project upatikanaji wa eneo ndo unazingua, tusaidiane hatushindwana hata kwa soda.

Kuku hao ni wa kienyeji na kisasa, kiasi cha shamba ni heka moja au mbili.

Asante
Habari? Mimi nina mabanda ya kutosha kuku hata 8000, yapo Morogoro. Nimechemka kisima tu kuchimba maana hakuna maji ya bomba karibu. Naomba ni pm namba yako tuwasiliane if wewe au mtu mwingine yoyote aatakuwa interested kushare gharama za kisima na kisha tufuge ila akubali kwenda kwa Mwanasheria. Thanks.
 
Back
Top Bottom