hamna mwalimu mwenye elimu ya kuunga unga. Lakini kwenye fani nyingine kuna watu wamefeli form 4 wakapata d 2 au 3. Wakasoma certificate labda ya procurement au fani nyingine yoyote,then diploma na badae degree. Lakni kila mwalimu mwenye degree amefaulu form 4 na 6. Kwa maana hiyo walimu wamefaulu elimu zao za hawali upenyo wa waliofeli huko kwenye fani nyingine sio ualimu. Kama nimekosea naomba nielimishwe.