Natafuta rafiki

Natafuta rafiki

Mkuu queeny, naweza kukuapia kabisa kama kasura kako kanalipa, haki ya nani papuchi inagongwa, haitajalisha jamaa litachukua miaka ingapi kukubembeleza kwa vimaneno vitamu vitamu!! Mimi ningekuwa karibu na wewe ningejidai kuupokea huo urafiki tuone kama utamaliza hata mwaka kabla sijakasasambua hako ka-papuchi kako!!

WTF!Mwaka! for what?just that I quit walahi bora iende tu
 
jamani jamani niko kwenye upweke usiopimika. natafuta rafiki jinsia ya kiume mwenye uelewa wa maisha na mstaarabu asiwe na majigambo. nahitaji mtu wa kubadiishana naye mawazo ya kimaisha, taaluma, mahusiano etc. awe above 30 na asiwe mwanafunzi wa chuo. lengo langu hasa ni kushare life experiences ndo maana nahitaji mtu anayejitambua.

MUHIMU; mambo ya kutongozana sitaki kabisa. nahitaji rafiki sio mpenzi.
NI-PM mimi, hutajilaumu. Tuelekezane na shughuli yangu ya uvuvi!.
 
jamani jamani niko kwenye upweke usiopimika. natafuta rafiki jinsia ya kiume mwenye uelewa wa maisha na mstaarabu asiwe na majigambo. nahitaji mtu wa kubadiishana naye mawazo ya kimaisha, taaluma, mahusiano etc. awe above 30 na asiwe mwanafunzi wa chuo. lengo langu hasa ni kushare life experiences ndo maana nahitaji mtu anayejitambua.

MUHIMU; mambo ya kutongozana sitaki kabisa. nahitaji rafiki sio mpenzi.
Dada yangu kwakuwa umejitambua na umekuwa na uzoefu wa siku nyingi na unafahamu fika unachokihitaji Basi haitakuwa vibaya tukawa marafiki kwani najua yaelekea vision yako ni ya maendeleo kuliko watu wanavyo kudhania sijui hili unasemaje je unaona kuna uwezekano wa wewe na mimi kuwa marafiki?kama hilo lipo mimi naomba hivyo tangu usomapo hii comment kwa upole na unyenyekevu uliojaliwa na mwenyezi nitakuomba faragha kidogo ili tuone hili jahazi tunapeperushia kwenye upepo wa kus kama siyo kasi!Asante ni mimi ndimi rafiki mtarajiwa!
 
Dada yangu kwakuwa umejitambua na umekuwa na uzoefu wa siku nyingi na unafahamu fika unachokihitaji Basi haitakuwa vibaya tukawa marafiki kwani najua yaelekea vision yako ni ya maendeleo kuliko watu wanavyo kudhania sijui hili unasemaje je unaona kuna uwezekano wa wewe na mimi kuwa marafiki?kama hilo lipo mimi naomba hivyo tangu usomapo hii comment kwa upole na unyenyekevu uliojaliwa na mwenyezi nitakuomba faragha kidogo ili tuone hili jahazi tunapeperushia kwenye upepo wa kus kama siyo kasi!Asante ni mimi ndimi rafiki mtarajiwa!

asante KakaKiiza
 
jamani jamani niko kwenye upweke usiopimika. natafuta rafiki jinsia ya kiume mwenye uelewa wa maisha na mstaarabu asiwe na majigambo. nahitaji mtu wa kubadiishana naye mawazo ya kimaisha, taaluma, mahusiano etc. awe above 30 na asiwe mwanafunzi wa chuo. lengo langu hasa ni kushare life experiences ndo maana nahitaji mtu anayejitambua.

MUHIMU; mambo ya kutongozana sitaki kabisa. nahitaji rafiki sio mpenzi.
NJOO KWANGU MIE NIPO NA NAWEZA HAYO YOTE ULIYOYASEMA ...

ILA NATAKA JUKUMU LA KUHAKIKISHA "TUNAZISHINDA HISIA ZETU ZA MAPENZI " PALE ZITAPOJITOKEZA NI-LA KWAKO.....

NAKUAHIDI KUTOKUKUTONGOZA ILA NA WEWE NIAHIDI KUZISHINDA HISIA ZA MAPENZI ZITAKAZOJITOKEZA JUU YETU....

pia ni jukumu lako kumuelewesha my wife kuwa wewe ni rafiki yangu tuu tulikutana jf nikutoe upweke na kushauriana kuhusu mambo ya maisha na sio mapenzi...
 
NJOO KWANGU MIE NIPO NA NAWEZA HAYO YOTE ULIYOYASEMA ...

ILA NATAKA JUKUMU LA KUHAKIKISHA "TUNAZISHINDA HISIA ZETU ZA MAPENZI " PALE ZITAPOJITOKEZA NI-LA KWAKO.....

NAKUAHIDI KUTOKUKUTONGOZA ILA NA WEWE NIAHIDI KUZISHINDA HISIA ZA MAPENZI ZITAKAZOJITOKEZA JUU YETU....

pia ni jukumu lako kumuelewesha my wife kuwa wewe ni rafiki yangu tuu tulikutana jf nikutoe upweke na kushauriana kuhusu mambo ya maisha na sio mapenzi...

ha ha ha umenichekesha, majukumu yote niachie mimi, nitakunyoosha tu
 
jamani jamani niko kwenye upweke usiopimika. natafuta rafiki jinsia ya kiume mwenye uelewa wa maisha na mstaarabu asiwe na majigambo. nahitaji mtu wa kubadiishana naye mawazo ya kimaisha, taaluma, mahusiano etc. awe above 30 na asiwe mwanafunzi wa chuo. lengo langu hasa ni kushare life experiences ndo maana nahitaji mtu anayejitambua.

MUHIMU; mambo ya kutongozana sitaki kabisa. nahitaji rafiki sio mpenzi.

pole aisee mpaka marafiki hauna..... watakuja usijali lakini humu JF wapo kibao
 
Nimefurahi sana kuiona thread yenye busara kama yako. Wasiwasi wangu cjuwi kama mumeo atakuwa na moyo kama wako na kuweza kumuamini rafiki yako. Kama imani hiyo anayo ni pm
 
jamani jamani niko kwenye upweke usiopimika. natafuta rafiki jinsia ya kiume mwenye uelewa wa maisha na mstaarabu asiwe na majigambo. nahitaji mtu wa kubadiishana naye mawazo ya kimaisha, taaluma, mahusiano etc. awe above 30 na asiwe mwanafunzi wa chuo[/COROL]. lengo langu hasa ni kushare life experiences ndo maana nahitaji mtu anayejitambua.

MUHIMU; mambo ya kutongozana sitaki kabisa. nahitaji rafiki sio mpenzi.


dada angu km ni rafiki wa kushare life experiences na sio mapenzi hata mtoto wa miaka 10 anaweza shauri k2 kizur bora tu kama anajtambua,,,hafu unajua humu jf wamejaa wanachuo na wasomi mbalimbali? cha msing tafuta marafik wanaojtambua bac...
 
jamani jamani niko kwenye upweke usiopimika. natafuta rafiki jinsia ya kiume mwenye uelewa wa maisha na mstaarabu asiwe na majigambo. nahitaji mtu wa kubadiishana naye mawazo ya kimaisha, taaluma, mahusiano etc. awe above 30 na asiwe mwanafunzi wa chuo. lengo langu hasa ni kushare life experiences ndo maana nahitaji mtu anayejitambua.

MUHIMU; mambo ya kutongozana sitaki kabisa. nahitaji rafiki sio mpenzi.

Mamboo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom