Habar wana jamvi!! Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, ninatafuta rafiki wa kike popote pale tz!! Aliye tayari tuwasiliane kwa; +255782047072!!
Funguka vijana wakike cku hzi hawataki kudanganywa sema unatafuta rafiki ambaye mkiendana na kukubaliana awe kiburudisho chako mpaka kifo kiwatenganishe
mtafute umukagame a.k.a shombe ni jana tu amekuwa single
Hongera! Umemaliza niliyotaka kumwuliza!
mgirik umukagame anataka mwenye pesa eti kweli
anataka mwenye pesa!?? Kwann asiwenazo yeye
Mkuu usisahau leo tuna kazi na Chelsick. Morinyo anatakiwa afe chapchap sana.
Funguka vijana wakike cku hzi hawataki kudanganywa sema unatafuta rafiki ambaye mkiendana na kukubaliana awe kiburudisho chako mpaka kifo kiwatenganishe
Hips.co.tz jamani hili jina nalipenda! pls naomba ni pm japo nikurushie hata elf 10
funguka vijana wakike cku hzi hawataki kudanganywa sema unatafuta rafiki ambaye mkiendana na kukubaliana awe kiburudisho chako mpaka kifo kiwatenganishe
Unataka kuosha rungu tu ww,waambie ukweli