natafuta rafiki

natafuta rafiki

mayuni

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2012
Posts
404
Reaction score
32
jamani wana jf mm natafuta rafiki wa kike wa kupiga nae story na badae kuwa more than rafiki kwa mawasiliano check me 0755671568 NB am not joking on it
 
Kuweka namba ya simu humu ni upumbavu kwa masuala ya kijinga ukizingatia avatar na jina ni fake

Sent from my BlackBerry 9300. using JamiiForums
 
Kuweka namba ya simu humu ni upumbavu kwa masuala ya kijinga ukizingatia avatar na jina ni fake

Sent from my BlackBerry 9300. using JamiiForums

it is not fake kila kitu ni real kama unabisha check joseph mayuni na hautakuta fake details hat moja...si kila mtu ni fake...ushazoea kudanganywa eti....
 
Kaka mtaani umekosa?,humu utapoteza muda wako mkuu.

usijali ndo maana kukawa na kipengele kama hiki humu jf...au ni wapumbavu walioweka hii forum ya mapenzi,mahusiano na urafiki????
 
Mh! Utakuwa zombie wewe!
bora mie zombi kuliko wewe MSUKULE.....taila weweeee....usiyejua nn maana ya forum kama hii...hivi unadhani kila mtu anasapot ----ing like that...
 
Baadae awe more than rafiki.......mmmh!

Si atafute tu more than rafiki kuanzia sasa hivi? Mkuu mayuni kwa hiyo huyo rafiki unayemtafuta anakua anajua kabisa kwamba lengo lako ni kuja kua more than rafiki, sasa ingekua bora ukatafuta more than rafiki ili mtu akajua kabisa anaingia kwenye urafiki wa aina gani.
 
Last edited by a moderator:
Si atafute tu more than rafiki kuanzia sasa hivi? Mkuu mayuni kwa hiyo huyo rafiki unayemtafuta anakua anajua kabisa kwamba lengo lako ni kuja kua more than rafiki, sasa ingekua bora ukatafuta more than rafiki ili mtu akajua kabisa anaingia kwenye urafiki wa aina gani.

haaaahaaaaaaa usijali mkuu wangu....wewee ndo umeongea kitu cha maana na kutaka kuja nina maana gani......usijali nimeshampata na tumewasiliana...waache hao wengine talking shit here....
 
Last edited by a moderator:
Si atafute tu more than rafiki kuanzia sasa hivi? Mkuu mayuni kwa hiyo huyo rafiki unayemtafuta anakua anajua kabisa kwamba lengo lako ni kuja kua more than rafiki, sasa ingekua bora ukatafuta more than rafiki ili mtu akajua kabisa anaingia kwenye urafiki wa aina gani.

Hicho ndo cha muhimu ili mtu ajue mapema ni urafiki gani huo unaohitajika Samaritan
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom