Natafuta rafiki wa kweli

Natafuta rafiki wa kweli

natafuta rafiki wa kweli
jinsia awe mwa kike
miaka 30-50
awe anaishi dsm
awe mpenda out ajue viwanja awe ananitembeza ila tu asiniuze maana wanawake sisi? sitaki kudalaliwa
awe na kipato asinifanye buzi lake maana wamama sisi tunapenda kuchuna wenzetu kinafiki tukitoka kila mtu atalipia bill yake.
ukitaka tutaishi wote kama una mtoto asizidi mmoja .
dini yoyote isipokuwa mlokole ,msabato au shahidi wa jehova
usiwe mlevi au na cv mbaya mjini
njoo pm
Dunia imefikia mwisho
 
Hii movie nzur sana

Ngoja nikae vzr katika kigoda changu

Ila asante kwa kunitetea kuleeeeee kenye mambo ya ulimwengu wa 3
 
nafahamu ilo maana jf ni uwanja wa kutoa mawazo huru bila kumung'unya manenoo!! nimemaliza!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom