Natafuta rafiki wa kiume

 
Nina miaka 26,
Mweusi.
Mrefu kiasi.
Elimu ()
Nahitaji rafiki wa kiume(kaka)
umri 28-32.
Elimu yake -Awe amesomea Afya,
pia awe mweusi na mrefu,
awe mcheshi na mchaMungu,
awe hajaoa.

Mwenye sifa Ani PM
Ninafanya kazi na nimesoma afya ila sifa zingine sina na siwezi kuahidi kuwa kaka na sitaki kuwa kaka wakati nitakudinya tu
 
Nina miaka 26,
Mweusi.
Mrefu kiasi.
Elimu ()
Nahitaji rafiki wa kiume(kaka)
umri 28-32.
Elimu yake -Awe amesomea Afya,
pia awe mweusi na mrefu,
awe mcheshi na mchaMungu,
awe hajaoa.

Mwenye sifa Ani PM
Kutokusomea Afya kumenishanikosesha rafiki
 
Msijihangaishe wanawake wanaojua kuchagua ivi ni wabaya pisi kali zinazoaga tu watu kama sisi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…