Mungu atakupa aliyekuandalia usiweke vigezoo vingii wakati wewe ulishaandaliwa wako ambaye yumkin sio mrefu kama unavyotaman nk.
jiulize milikuwaje Yakobo akaambiwa akaoe kwa mjombaye Laban? huko ndiko Mungu alikojua atapata mke/wake na uone jinsi ya Mungu yalivyo makubwa akampata lea na Rahel ingawa moyo wake ulikuwa kwa Rahel.
hakuishia hapo tu akampata na Zilpa na Bilha.
haya yote namaanisha hivi usimwekee Mungu mipaka hasa kama umenaza nae wewe mweleze shida yako basi wa rangi gani, kimo gani wajihi gani mwachie yeye