Ukishaona mtu anatafuta marafiki kupitia mtandao ni wazi kuwa socialization yake ni kimeo. Watu wote na marafiki wote waliojaa huko mitaani imeshindikana mpaka kuja kutafuta hapa?
Au ndo maisha ya dot com? Kila kitu mtandao?
Kizazi hiki cha sasa majanga sana
what's your point there?