Kama inavyosomeka ndivyo ilivyo. Awe mtu mzima kuanzia miaka 30 hadi 45. Kama vipi nipe majibu kwa private message.
so ni urafiki tu basiRafiki ana faida kubwa! Ni bora kuongeza rafiki kuliko adui, sina nia mbaya na ningekuwa na nia mbaya nisingetangaza wazi.