babilas25
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 471
- 333
Habari za majukumu,
Naamini nyote mpo salama, natafuta rafiki wa kike mwenye hofu ya Mungu, anayejua na kujali thamani ya mtu asiwe mlevi wa kupindukia, Dini Mwislam/mkristo.
Mwenye elimu walau ya secondary, mwenye uelewa wa maisha na mpambanaji, awe mrefu kidogo asiwe mwembamba mwenye muonekano mzuri, umri kuanzia miaka 25 hadi 33
Wasifu wangu, mim ni Mvuvi kitaluma, umri wangu ni 34.
Njoo DM tuyajenge.
Naamini nyote mpo salama, natafuta rafiki wa kike mwenye hofu ya Mungu, anayejua na kujali thamani ya mtu asiwe mlevi wa kupindukia, Dini Mwislam/mkristo.
Mwenye elimu walau ya secondary, mwenye uelewa wa maisha na mpambanaji, awe mrefu kidogo asiwe mwembamba mwenye muonekano mzuri, umri kuanzia miaka 25 hadi 33
Wasifu wangu, mim ni Mvuvi kitaluma, umri wangu ni 34.
Njoo DM tuyajenge.