Natafuta rafiki wa kike wa kuchati nae

Natafuta rafiki wa kike wa kuchati nae

Kwa hali hii lazima tubaki wa mwisho especially African

Na wewe unajiita great thinker
 
Duuh
Hivi kijana at that age bado mna muda wa kuchat na mtu usiyemjua just to kill time....
 
Tangu nijiunge jf nimeanza kusahau kuchat.
 
before doing that, start by something very simple called " get a life"
 
Vocha ya kujiunga kifurushi utampatia?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom