Natafuta rafiki wa kike aliye jasiri

Natafuta rafiki wa kike aliye jasiri

Joined
Jul 22, 2014
Posts
21
Reaction score
3
Habari zenu ndugu marafiki, mimi ni jamaa ambaye nimekosa rafiki wa kike kwa kipindi kirefu sasa, kutokana na wengi wao kuniogopa.
Kwa hali hiyo nimeona nichukue fursa hii kutafuta rafiki wa kike ambaye ni jasiri wa kutoogopa Rafiki wa kiume kama mimi.
Aliye tayari kuwa rafiki yangu asisite kunitumia ujumbe.
Asante natarajia kupata jibu la kuridhisha kutoka kwa rafiki mrembo yeyote yule mwenye ujasiri.
 
Kama wa huko nje wanakuogopa basi hata wa humu wataogopa kuku pm!!
 
unatafuta rafiki wa kike saa tano za usiku? lazma wakukimbie beste
 
Habari zenu ndugu marafiki, mimi ni jamaa ambaye nimekosa rafiki wa kike kwa kipindi kirefu sasa, kutokana na wengi wao kuniogopa.
Kwa hali hiyo nimeona nichukue fursa hii kutafuta rafiki wa kike ambaye ni jasiri wa kutoogopa Rafiki wa kiume kama mimi.
Aliye tayari kuwa rafiki yangu asisite kunitumia ujumbe.
Asante natarajia kupata jibu la kuridhisha kutoka kwa rafiki mrembo yeyote yule mwenye ujasiri.

hayo maelezo yako yanaogopesha pia
 
Habari zenu ndugu marafiki, mimi ni jamaa ambaye nimekosa rafiki wa kike kwa kipindi kirefu sasa, kutokana na wengi wao kuniogopa.
Kwa hali hiyo nimeona nichukue fursa hii kutafuta rafiki wa kike ambaye ni jasiri wa kutoogopa Rafiki wa kiume kama mimi.
Aliye tayari kuwa rafiki yangu asisite kunitumia ujumbe.
Asante natarajia kupata jibu la kuridhisha kutoka kwa rafiki mrembo yeyote yule mwenye ujasiri.

Mimi najitokeza kuwa rafiki yako........ni juzi tu nimetoka kuua mtu alitaka kuniibia pochi........nadhani nina ujasiri wa kutosha.........
 
Mimi najitokeza kuwa rafiki yako........ni juzi tu nimetoka kuua mtu alitaka kuniibia pochi........nadhani nina ujasiri wa kutosha.........

Hahaahaha umenichekeshaje. Hakika wewe ni jasiri
 
Unataka mwanamke jasir unafanya shughuli gani ambazo zinahitaji ujasiri wa mwanamke zaid ya ule wa kujifungua maana ndo nauona ujasiri hali ya juu
 
ana muhogo wa jang'ombe ndo maana anahitaji mwanamke jasiri kama wewe vp upo tayari?

Ina maana huo muhogo wa jang'ombe anautembeza nje? Sasa hao wanaomuogopa wanajuaje??
 
Mie ni jasiri nishaua tisa karibu uwe rafiki yangu utakuwa wa kumi je ww unao ujasiri wa kifa??
 
Habari zenu ndugu marafiki, mimi ni jamaa ambaye nimekosa rafiki wa kike kwa kipindi kirefu sasa, kutokana na wengi wao kuniogopa.Kwa hali hiyo nimeona nichukue fursa hii kutafuta rafiki wa kike ambaye ni jasiri wa kutoogopa Rafiki wa kiume kama mimi.Aliye tayari kuwa rafiki yangu asisite kunitumia ujumbe.Asante natarajia kupata jibu la kuridhisha kutoka kwa rafiki mrembo yeyote yule mwenye ujasiri.
nishaogopa na mimi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom