Natafuta pumba za mahindi kavu tani moja

Natafuta pumba za mahindi kavu tani moja

Mangerero

Member
Joined
Sep 29, 2016
Posts
7
Reaction score
4
Heshima zenu wakuu,

Nipo Arusha mjini najishughilisha na uzambazaji wa vyakula vya mifugo, nimeweka Uzi huu ili tuweze kupeana taarifa za bei na upatikanaji wa Pumba za Mahindi ktk sehemu mbalimbali na Kama unazo tuweze kufanya biashara.
Nicheki katika No 0755710560

Asanteni
 
Heshima zenu wakuu,

Nipo Arusha mjini najishughilisha na uzambazaji wa vyakula vya mifugo, nimeweka Uzi huu ili tuweze kupeana taarifa za bei na upatikanaji wa Pumba za Mahindi ktk sehemu mbalimbali na Kama unazo tuweze kufanya biashara.
Nicheki katika No 0755710560

Asanteni

Ongea bei ilitupate moyo wa kuongea na wewe sio unataka kutu blackmail
 
Back
Top Bottom