Na Vipi kuhusu spears mkuu naweza pata wapi hapa bongompya zipo za kichina tu ya Kijapan mpya huwezi kupata hapa Tanzania, labda Dubai au Thailand.
Unuampya zipo za kichina tu ya Kijapan mpya huwezi kupata hapa Tanzania, labda Dubai au Thailand.
Kama Kuna sehemu wanauza mpya hapa bongo ni honda CT 110 na Spear zake zote kama carburator,battery,air filter na zingine......