natafuta pembe za n'gombe

Parrot_2024

Member
Joined
Dec 16, 2017
Posts
63
Reaction score
28
Habari zenu wakuu, natafuta pembe za n'gombe rangi nyeupe mkoa yoyote na kiasi chochote hata kama zaidi ya tani moja! Ntanunua kwa bei nzuri popote inapopatikana
Asanteni
 
Hii ni fursa mazee, embu funguka kidogo mkuu. Ni wapi soko lake lipo au ni nje ya nchi
 
Za ukubwa gani?tani unanunua bei gani?unapatikana wapi?
Ukubwa yoyote ile...mm nipo Dodoma ila naziuza Dar ndo soko lake ilipo so popote nitapokipata haina shida na kwa bei mkuu ni maelewano usjli! Kma uko serious na unazo ni pm namba yako
 
Tanua wigo wa bishara yako,weka bei hapa kila mtu aione mkuu.
 
Kuna watu wananunua alafu wanazisafirisha inje na kutumika kwa ajili ya mapamo, kutengeneza sahani, vifungo za nguo na vitu vingine pia

Shukrani mkuu, niliwaza vifungo na vyakula vya mifugo ila nkaona umeweka sharti la rangi hapo nkaona niulizie vizuri, sasa hizo nyingine vipi (za rangi tofauti) au hazina ubora?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…