Natafuta partner wa kushirikiana naye

Natafuta partner wa kushirikiana naye

Ahsante Petro kwa ushauri...hivyo vitu vyote vilishafikirika kwa kina sana...na ndio maana nikaweka namba ya simu ili tuweze kuwasiliana
Mkuu, fanya hivyo hapa hapa JF kwa kurahisisha mambo na kutoa faida kwa wengi katika wakati mmoja.
 
Hapa itakuwa anatafuta watu wa kuwaunga ktk group ili kujenga chain ya kumzalishia pesa, the more you enroll more members the more you get paid!

It's a project that involves alot of money i can't discuss it through the phone..it's unprofessional and 90% of the business it's visible
 
Acha kuuzia watu mbuzi kwenye gunia! Its also unprofessional to introduce to others someting which is not existing
Aliyeanzisha mada ni wewe na unatakiwa at least watu wawe informed A, B,C za biashara unayozungumzia. Details zitafuata kwa simu au PM kwa wale watakaoona kuwa idea yako is worth trying
 
Mkuu, fanya hivyo hapa hapa JF kwa kurahisisha mambo na kutoa faida kwa wengi katika wakati mmoja.

It's a project which involves alot of money i don't think it's professional to talk about in the phone or via text message that is why i kept my number and email for contact thank you
 
Acha kuuzia watu mbuzi kwenye gunia! Its also unprofessional to introduce to others someting which is not existing
Aliyeanzisha mada ni wewe na unatakiwa at least watu wawe informed A, B,C za biashara unayozungumzia. Details zitafuata kwa simu au PM kwa wale watakaoona kuwa idea yako is worth trying

it's okay brother if you think it's not existing that is why i said for those who are interested to know more about this can contact me and then welcome them to our office we do this professionally


and it deal with healthy and finance i remember saying this thank you
 
can you contact me through my email or phone number...ili kupata taarifa zaidi juu ya hii project nakuahidi hutojutia
Hiyo taarifa about details unayotaka kuitoa kwa email inafaa pia kuweka hapa. Unaogopa nn kama unafanya jambo la halali? Au ni biashara kukamua bhangi kupata resin kwa ajili ya kutibia cancer?!!![emoji2]
 
can you contact me through my email or phone number...ili kupata taarifa zaidi juu ya hii project nakuahidi hutojutia
Sina vocha mkurugenzi....
Project haihitaji qualifications zaidi ya hiyo kuwa free three hours, umesema inahusu health and finance nami nna degree of urembo and kujipanda nnafaa? If yes nambie nikimbie kukopa vocha
 
Sina vocha mkurugenzi....
Project haihitaji qualifications zaidi ya hiyo kuwa free three hours, umesema inahusu health and finance nami nna degree of urembo and kujipanda nnafaa? If yes nambie nikimbie kukopa vocha
inafaa dada Evelyne
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom