sabuni jr.
Member
- Oct 14, 2014
- 19
- 4
Habar waheshimiwa! Naombeni msaada kwa anaefahamu ilipo frame nzur kwa ajili pub, grocery au bar ndogondogo anifahamishe(ani PM) kwa maana nishatafuta sn aiseee! Zaidi ni kwa maeneo ya nyerere road mwisho gongo LA mboto!.tafadhar yenye ghalama ya kawaida tu!...