Nicho North11
Member
- Mar 28, 2019
- 29
- 46
Habari zenu wadau!
Natafuta Nyumba Yenye Masterbedroom, Sitting room, kitchen iwe ndani ya Fensi maeneo ya Kuanzia Tegeta kwa ndevu hadi Mbezi African lakini iwe karibu na Barabara ya New Bagamoyo.
Mwenye nayo anicheki PM hatakosa hata ya Maji.
Uzi tayari.
Natafuta Nyumba Yenye Masterbedroom, Sitting room, kitchen iwe ndani ya Fensi maeneo ya Kuanzia Tegeta kwa ndevu hadi Mbezi African lakini iwe karibu na Barabara ya New Bagamoyo.
Mwenye nayo anicheki PM hatakosa hata ya Maji.
Uzi tayari.