NATAFUTA Nyumba ya KUPANGA

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
26,362
Reaction score
39,847
iwe na vyumba 3 au 2 na bei ni laki kwa mwezi.
mahala popote dar kunakofikika na usafiri.
Nataka kuhama hapa nilipo kwani mwanangu mchanga ameugua malaria three times a month na maji yanatuama na mwenyenyumba kagoma kufanya marekebisho ya kuzuia maji kutuama.

kama unaamini unayo taarifa nitumie PM
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…