Natafuta nyumba ya kupanga Mororgoro

Natafuta nyumba ya kupanga Mororgoro

Ipo nyumba Mazimbu..Ina rooms 3 (One Masters), Jiko, Seating, Dinning Room, ina fence, full tiles bei 300k kwa mwezi

Gari linafika na ina geti zuri:

Vp utahitaji???????????????? Check mi out
 
asante mkuu,ila hiyo kubwa sana kwangu,nahitaji ya one bedroom au ikizidi two bedroom na sebule kikubw..
 
kwa nini umechagua hayo maeneo? huoni kama itakuwa ghali saaana na hapo ukipata ya 150k nakupa zawadi aisee... Huko maisha yako juu katafute uswahilin kama sabasaba, mwembe kule au kaloleni...
Kama uko tayari ni-PM.. ikishindikana nitakupa maelekezo ukapate self moja white with tiles sebule jiko na store lakini 160k pale modecco...
 
kwa nini umechagua hayo maeneo? huoni kama itakuwa ghali saaana na hapo ukipata ya 150k nakupa zawadi aisee... Huko maisha yako juu katafute uswahilin kama sabasaba, mwembe kule au kaloleni...
Kama uko tayari ni-PM.. ikishindikana nitakupa maelekezo ukapate self moja white with tiles sebule jiko na store lakini 160k pale modecco...

Asante kwa kunielewesha mkuu,me ni mgeni kwa mji huo wa Moro ndio nahamia,je kwa sehemu hizo ulizonitajia,na aina ya nyumba nayotaka naweza pata kwa ngapi mkuu?hachana na hayo maeneo uliyosema yako juu sana
 
huko ni uswaz kamili na ukienda ukaulizia tuu unapata.bei chee kila room 40 mpaka 25 lakin utata kwenye choo.utata kamili.lazma ushee. uzuri wa moro ukiwa na hela yako kwa mwezi lets say over 800 kachukue hata ya 150uishi vizuri kuliko mwembe au sabasaba ambako roho juu.kwa mfano sabasaba room ni shng 20 tuu lakin usalama nao utata. Pamoja. kaza roho maana ya hela hata kama ni 600 wee tafuta pa kuishi lipa 150 mwaka au miezi sita uishi ndani ya fensi ufurahie. usiniPM tena maana nishasepa morogoro
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom