Natafuta nyumba ya kupanga Mapinga-Bagamoyo

Natafuta nyumba ya kupanga Mapinga-Bagamoyo

WENYELE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,466
Reaction score
1,558
Habari wakuu.Natafuta nyumba yenye sifa zifuatavyo.
1.Master room moja
2.Chumba cha wageni
3.Jiko
4.Sebule
5.Maliwato
6.Iwe na maji na umeme
7.Iwe sehem salama
8. Budget laki moja hadi laki moja na nusu(100,000-150,000) kwa mwezi.
Kwa mawasiliano zaidi njoo PM
 
Nasubiri madalali wa nyumba
 
Back
Top Bottom