Natafuta Nyumba ya Kupanga KIgamboni

Natafuta Nyumba ya Kupanga KIgamboni

Donkey

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2010
Posts
1,499
Reaction score
1,585
Yeyote anayefahamu Kama kuna nyumba ya kupanga au upande unaojitegemea anijulishe tafadhali
 
sure, ni PM tuongee vizuri
 
Ipo moja nimehama mwezi ulipita, ipo tungi karibu na shule ya masister.
Geti, kisima cha maji, vyumba vya kulala 4 kimoja ni master,stoo 1,jiko na sebule,
 
Mimi nina nyumba yangu ipo maeneo ya Tuamoyo yaani sio mbali na mikadi beach. Ninapangisha kwa vyumba vya master. Yaani chumba na choo chake ndani kwa laki kwa mwezi. Na kama unahitaji chumba choo chake na jiko lake ni laki na hamsini kwa mwezi ila viko ktk matengenezo ukitoa kodi nimalizie. Nicheck kwa 0715388666 / 0687672672 kwa kuja kuiona.
Shukran
 
Back
Top Bottom