Swordfisher
JF-Expert Member
- May 1, 2013
- 233
- 37
Natafuta nyumba ya kununua Gongo la mboto iliyo na hati.
Bei iwe kati ya Milioni 25 mpaka 30 ila ifanane na bei yake.
Location: Isiwe mbali na barabara ya lami ya pugu kuzidi kilomita 5
Status: Isiwe na Mgogoro wowote wa kifamilia au kiserikali,kiusajili n.k
Bei iwe kati ya Milioni 25 mpaka 30 ila ifanane na bei yake.
Location: Isiwe mbali na barabara ya lami ya pugu kuzidi kilomita 5
Status: Isiwe na Mgogoro wowote wa kifamilia au kiserikali,kiusajili n.k