Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 6,423
- 8,367
Wenyeji wa Moshi naomba kujuzwa nyumba ya kulala wageni iliyopo katikati ya Mji wa Moshi. Gharama isizidi 30,000/=
Lutherani hapo Moshi mjini utapataWenyeji wa Moshi naomba kujuzwa nyumba ya kulala wageni iliyopo katikati ya Mji wa Moshi. Gharama isizidi 30,000/=
Miss bado unatafutanenda ukalale kwetu hakuna mtu nyumba ipo ya kutosha
AsanteLutherani hapo Moshi mjini utapata
Kwenu wapi binti?nenda ukalale kwetu hakuna mtu nyumba ipo ya kutosha
huko moshiKwenu wapi binti?
Moshi sahemu gani? Maana umenikaribisha nifikie kwenye nyumba yenu, ambayo umedai kuna nafasi ya kutosha na hakuna mtu. Nipatie anuani kamili. Mwenzio niko serious kweli natafuta sahemu ya kufikia tafadhali.huko moshi
Moshi sahemu gani? Maana umenikaribisha nifikie kwenye nyumba yenu, ambayo umedai kuna nafasi ya kutosha na hakuna mtu. Nipatie anuani kamili. Mwenzio niko serious kweli natafuta sahemu ya kufikia tafadhali.huko moshi
AsanteKalale buffalo nyuma ya double road upande wa stesheni ya reli
AsanteMkuu kama ni guest ipo ya bei nafuu na mazingira yake ni safi na vyumba ni self container,,,inaitwa DEVOTA bei ni elfu saba ,,ipo mtaa wa daresalaam hapo moshi ,ukichuku uasfir wa pikpik mpka hapo guest ni 1500, mm ndo ninapofikiaga nikifkaga hapo moshi na wki iliyopita nilkuwepo huko.
AsanteKalale buffalo nyuma ya double road upande wa stesheni ya reli