Apamo New Member Mar 31, 2012 3 0 Apr 5, 2012 #1 Mwenye nokia x2 mpya ata kama imetumika isiwe na kasoro yoyote au mwenye nokia 2700
Mangimeli JF-Expert Member Sep 15, 2011 1,151 286 Apr 5, 2012 #2 Me x2 na nauza coz sina ela ya kula pasaka ni pm,naongea ukweli ndugu ila nipo dar sjui we uko wap? Na bei naanza130000 maongezi yanaruhusiwa.
Me x2 na nauza coz sina ela ya kula pasaka ni pm,naongea ukweli ndugu ila nipo dar sjui we uko wap? Na bei naanza130000 maongezi yanaruhusiwa.
prakatatumba JF-Expert Member Oct 17, 2011 1,328 190 Apr 5, 2012 #4 u tutupe maujanja yake hiyo simu mwenyewe naisikia sikia tu ila sijajua maujanja ya makila kitu