Kuna jamaa yangu anayo ila ina mapungufu machache...haina engine, gearbox wala viti,! Nimpe namba yako!?
na nikiitaka nitaipata tu. Halaf kuna watu hapo chini baadh yao wanaropoka tu eti mwingine anasema kwa bei hiyo siwez kupata! M ninazipata na ninauza kwa faida sasa wengine wanaropoka hawajui ninachokifanya zanz we unanijua mi ni wa kununua na kuuza kwa hivyo waache waendelee kuropoka tu nshawazoea. Nakutakia jpil njema mkubwa zanzFrank vimeo sasa vinakudatisha.
Kuna siku utasema unataka Hammer kwa milioni sita
Hiyo ndo biashara yang kwahivyo najua ninachokifanyaNissan March itakupa mimba bora ufikirie mengine!!
Ujui ndo maana unasema hivyo hii ndo biashara yangu nikitaka hata gar la 2 milion napata ila inahitaji uvumiliv kwahivo usiwaige hao wanaopiga majungu kwakuwa nimeishawazoeami magari ata kama siyajui... ila hii pesa haitoshi...
We c umekariri ya shemej yako? Kuwa na adabu ukiona hauna cha kuongea n bora ukanyamaza kuliko kukurupuka na kuongeaHivi nyie watu mnajua maana ya NEW MODEL???? kukaririi sio kuzuri
Frank vimeo sasa vinakudatisha.
Kuna siku utasema unataka Hammer kwa milioni sita
Poa mkuu,nakuaminia,ila nasikia huwa unaenda kwa mganga kabla huja post,ili mwenye nayo apate shida ili akuuzie.na nikiitaka nitaipata tu. Halaf kuna watu hapo chini baadh yao wanaropoka tu eti mwingine anasema kwa bei hiyo siwez kupata! M ninazipata na ninauza kwa faida sasa wengine wanaropoka hawajui ninachokifanya zanz we unanijua mi ni wa kununua na kuuza kwa hivyo waache waendelee kuropoka tu nshawazoea. Nakutakia jpil njema mkubwa zanz
Teh teh teh! Uwiiii! Umenichekesha saana leo ila huwa siendag kwa waganga!Poa mkuu,nakuaminia,ila nasikia huwa unaenda kwa mganga kabla huja post,ili mwenye nayo apate shida ili akuuzie.
Hahaha,sasa hivi utasikia mtu anakuuzia kwa 2,500,000,shida haina adabu kweli.