roytmeller
Senior Member
- Mar 9, 2015
- 109
- 18
Habar, mimi ni kijana mwenye umri kadhaa, napatikana dsm, elimu yangu ni Advance diploma in Business Administration (B.A) toka nimalize huu ni mwaka wa tatu sasa cna ajira, na nimekuwa nikikosa nafasi ya kuajiriwa kwa sababu ya experience, hivyo basi kama kutakuwa na shirika lolote mnalolifaham na linahitaj volunteer, msisite kunifahamisha au kama kuna kazi ya mauzo(sales) pia npo