Natafuta NGO ya kuvolunteer

Natafuta NGO ya kuvolunteer

ntita

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2013
Posts
513
Reaction score
285
Nipo kwenye likizo ya mwisho wa semester, nilitamani sana kufanya kazi (kwa kujitolea) na NGO hasa inayojihusisha na elimu au watoto.

Nimejaribu kuangalia kwenye directory ya NGO tatizo ni kwamba physical address ziko so general(wilaya na mkoa) na hakuna mobile numbers, naomba kwa mwenye kujua hizo details za NGO kwenye hizo category anisaidie.

Ziwe ndani ya mkoa wa Dar es salaam.
 
Dah tupo on the same page namimi ninashida sana na NGO ila kuwapata ngumu sana ,na hawatoi ushirikiano kabsa ,jaribu Kwenda dogo dogo center.
 
Dah tupo on the same page namimi ninashida sana na NGO ila kuwapata ngumu sana ,na hawatoi ushirikiano kabsa ,jaribu Kwenda dogo dogo center.

nipe basi details zao
 
nahisi naelekea kughairi, mpaka huku hamna msaada
 
kuna moja inaitwa pasada nenda huwa wanatoa nafasi ila ni ngo ya hiv/aids
 
Dah tupo on the same page namimi ninashida sana na NGO ila kuwapata ngumu sana ,na hawatoi ushirikiano kabsa ,jaribu Kwenda dogo dogo center.
nipe basi details zao
nahisi naelekea kughairi, mpaka huku hamna msaada
Usighairi tafadhali kwa ajili ya wadogo zetu.

Contacts za Dogodogo hizi hapa:

  • Dogodogo Street Children Trust
P.O. Box 22401 Dar es Salaam
Email: info@dogodogocentre.com


  • Person Sabas Masawe
Project Coordinator
+255 784/655 278039
dogodogo@bol.co.tz
sabasmasawe@gmail.com
sabas.masawe@dogodogocentre.com


  • Sr. Jean Pruitt
jpruitt6@gmail.com


  • Bernhard Staub
b.staub@gmail.com
 
Pole sana
MDOGO wangu nae alisota mwaka Jana
Hebu wacheki teachers junction wanaweza kukuruhusu kufanya kwao au kukupa muelekeo
0753810857
 
Back
Top Bottom