Natafuta nafasi za field(practical training) in electronics engineering

Natafuta nafasi za field(practical training) in electronics engineering

Dany Mrushi

Member
Joined
Feb 10, 2016
Posts
7
Reaction score
1
Habari wana jf,mi ni mwanafunzi wa D I T nasoma electronics and telecommunications engineering mwaka wa piili diploma,natafuta field(practical training) kwenye electronics kwa muda wa miez 3 kuanzia August 2016,nahitaji kua competent kwenye electronics...Asanteni napatikana dar
 
wengine kingereza hatujui, hiyo electronics ndo utakuwa unahusika na mambo gani
 
Tafuta workshop inayodeal na electronics kama unataka kua competent in electronics,jaribu hata COSTECH ama UDSM nasikia wana workshop ya electronics
 
Habari wana jf,mi ni mwanafunzi wa D I T nasoma electronics and telecommunications engineering mwaka wa piili diploma,natafuta field(practical training) kwenye electronics kwa muda wa miez 3 kuanzia August 2016,nahitaji kua competent kwenye electronics...Asanteni napatikana dar


Wazo zuri ingia online google around nina amini utapata best solution

Itakusaidiaje?

Itakusaidia kuona kwamba kuna vitu vidogo vidogo unaweza kuvinunua mwenyewe na kufanya vitu vidogo vidogo ambavyo in the long run unaeza kuwa hata inventor....


Kama unasoma focus on books not money bro hizo ma field watakufanya ufanye kazi kwasababu wapo wanahitaji faida...

Si vibaya lakini itahitaji uwe na discipline ya hali ya juu saaana kuishi humo mkuu..


All the best
 
Famous Social Networking sites in Africa
  • Windoface: Popular throughout much of the world.
  • hi5: Popular throughout much of the world
  • Netlog: A blogging service available in dozens of languages
  • Skyblog: A French blogging site, popular in North Africa
  • Badoo: Multi-cultural site, claims over 46 millions users
  • MXit: Mobile internet and social networking application based in SA with over 14mm global users
  • AfricanZone: A general social network, founded in 2008
 
Back
Top Bottom