My beginning
Member
- May 31, 2023
- 13
- 9
Natafuta Fursa ya Ajira – Legal Assistant / Company Secretary / Personal Secretary / Legal Consultant
Mimi ni binti aliyehitimu Shahada ya Sheria, naishi morogoro, mchapakazi, mwaminifu, na mwenye maadili ya kazi. Nina hamasa ya kutumia taaluma yangu kusaidia kampuni, taasisi au mtu binafsi kufikia malengo yao kwa ufanisi na weledi.
Natafuta nafasi kama:
📌 Legal Assistant
📌 Company Secretary Assistant
📌 Personal Secretary
📌 Legal Consultant
Niko tayari kuanza mara moja, kujifunza, na kutoa mchango chanya.
Wasiliana nami kwa DM au simu 0765504074.
Asanteni.
Mimi ni binti aliyehitimu Shahada ya Sheria, naishi morogoro, mchapakazi, mwaminifu, na mwenye maadili ya kazi. Nina hamasa ya kutumia taaluma yangu kusaidia kampuni, taasisi au mtu binafsi kufikia malengo yao kwa ufanisi na weledi.
Natafuta nafasi kama:
📌 Legal Assistant
📌 Company Secretary Assistant
📌 Personal Secretary
📌 Legal Consultant
Niko tayari kuanza mara moja, kujifunza, na kutoa mchango chanya.
Wasiliana nami kwa DM au simu 0765504074.
Asanteni.