Natafuta nafasi ya kazi ya udereva nimesoma NIT VIP

nasry seaf

Member
Jan 26, 2017
34
15
872123a7342c968349d28276854372e8.jpg
 
Katika vitu vitakuponza ni hiyo paspot size hapo kama haiwezekani kubadili cheti ndo basi tena 'UMEZINGUA'
 
kwanini ulipiga picha na kiduku??? ona sasa utahangaika hadi basi pasipo mafanikio na kama bado unacho nakushauri kanyoe mda huu
 
Daaaah aseeh dogo mbona umejipa kazi ya kutafuta kazi baada ya masomo yako kwa kupiga picha na kiduku jamaa angu asee muwe mnaombaga ushauri kabla ya kufanya maamuzi kaka kwa taasisi zilizo seriasi na zenye tija ni ngumu kukupa kazi na kukuamini maana watakufikiria kama muhuni fulani ivi ingawa wewe unaweza kuwa smart kichwani na kwenye kazi yako pia
 
Aya Unyoe kiduku ujiandae na kazi hiyo
 

Attachments

  • 6105fe3430d8628c082c9645eb9af42d.pdf
    231 KB · Views: 209
Daaaah aseeh dogo mbona umejipa kazi ya kutafuta kazi baada ya masomo yako kwa kupiga picha na kiduku jamaa angu asee muwe mnaombaga ushauri kabla ya kufanya maamuzi kaka kwa taasisi zilizo seriasi na zenye tija ni ngumu kukupa kazi na kukuamini maana watakufikiria kama muhuni fulani ivi ingawa wewe unaweza kuwa smart kichwani na kwenye kazi yako pia
Kama kashindwa kuwa smart kwenye nywele hawez kuwa smart kichwani
 
Yani kwa kiduku hicho kinaonyesha kwamba bado una mambo ya kijinga, Utamwendeshea nani gari kwa mnyo-o huo?


Post hii nimecheka kwa nguvu ila umempa fact jambo la maisha kama hilo unapiga picha za ajabu haipendez tuwe makini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom