Natafuta mwanaume baadae awe mume wangu

Sasa hapo unamiaka 27 kwa kigezo cha elimu ulicho weka humpati labda kibamia maana wote wapo busy na wasichana wa miaka 18-20
 
Dah.... Njoo kwangu ila sina degree ya elimu nina degree ya pesa nitakupatia chochote pamoja na kuhakikisha elimu yako ya degree utasimamia miradi yangu kama mama wa familia, je Upo tayari.
 
Muwe mnapunguza kiwango cha elimu ..sio kututisha hivyo.
Eti degree mala PhD, sjui diploma" hivi kwa nini Msiolewe na shule???
 
Natumaini wote wazima
Nahitaji mwenza ambaye tukijaaliwa aje kunioa

Awe muislam(muhim saaaana)
Miaka 27-36
Elimu Degree
Awe anajishughulisha angalau
Kama anavaa na cjaridhika na uvaaje wake bac Awe tayar kubadilika kimavazi maana napenda mume wangu awe smart saaana


Sifa zangu
Muislam
Miaka ni kati ya 24-27
Elimu, Degree(Sheria


NB:
1.Tafadhali hakikisha una sifa zilizotajwa hapo juu haswa dini maana sitaweza kubadili niliyonayo na ukijiona umezi 36 wala usijisumbue

Karibun PM mume wangu mtarajiwa
CQJVl-dWUAAdtay.jpg
 
Dhahili wewe ni Muslim fake, ndoa na vigezo wapi na wapi, Omba tu umpata aliye mwema na mbadilishe wewe kumpeleka hayo uyatakayo wewe.
Inawezekana
Usimhukumu aisee, kiukweli ndoa inatakiwa iwe na vigezo. Halafu kama yeye ni muislam basi hakika anatakiwa achague na aridhike na vigezo vya yule ampendae. Ninukuu vizuri ndugu yangu, vigezo ni lazima awe navyo na wala hawi muislam feki eti kwa kuwa ameweka vigezo vya amtakae
 
Of course kama yeye ni mtoto wa kiislam dini lazima iwe ndio kigezo nambari moja. Na wala sio ubaguzi, sasa akiolewa na mtu asie muislam unadhani wataishi kwa kuelewana hao? you have to have the very same ideology to be able to live in peace and harmony.
 
Kuna yule Comedian wa Kenya anasema hivi.
"Ukiona mwanaume hana mwanamke ujue HATAKI, lakini ukiona Mwanamke hana mwanaume ujue kweli AMEKOSA".
Anauliza umewahi kuona mwanaume ameenda kwa Mganga kutafuta mwanamke?
 
Sema kwanza umepata masaibu gan huko ulikotoka. Maana hakuna mdada anaomba uchumba/urafiki hapa Jf kama hajamwagwa baada ya kuzalishwa au ni +hiv na mengineyo
 
Suburi wanaume wakupende,na zaidi mshirikishe Mwenyez Mungu katika maombi yako ili uwez kupata Mme bora,kwa swala la mwanaume anaye mcha Mungu hata mm nakuunga Mkono kwa 100%,lakin kwa inshu ya Elimu umechemka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom