Hahahahaaa,miaaka yote aliyokaa ulaya hajapata hata mmoja? half anaadvantage atumie hiyo lugha ya malikia mbona atawapata tu!
Natafuta mwanamke kuanzia miaka 25 mpaka 35 awe mkristo...Kabila lolote.Mimi ni mtanzania niliyekaa nje ya nchi(Europe)kwa miaka mingi ,nimerudi nyumbani kuishi na anayehitaji anipm tutaanza na kuchat kwanza ili Tufahamiane zaidi