Jamani wana jf, natafuta mwamke wa kuzaa naye mtoto mmoja tu.
Mimi ni mwanume miaka 37 na ninaishi Arusha. Nipo tayari kupima naye na niko tayari kule mtoto lakini siyo kuoana.
Unafikiri kuoa ni mchezo. miaKwanini hutaki kuoa? Na huyo mtoto mtarajiwa akishazaliwa ndio inakuwaje? unamchukua au anabaki na mama yake? Funguka zaidi ili kama wapo wanaotaka kuchangamkia hili bandiko wakuelewe.
Unafikiri kuoa ni mchezo. mia
Unafikiri kuoa ni mchezo. mia
Hahahahaaaa....!!! miaKumbe kuzaa ndo mchezo eeh? Mia
Unaweza kuzaa kwa bahati mbaya lakini huwezi kuoa kwa bahati mbaya. Baada ya wiki mnaachana kama ndoa ukiichukulia kama mchezo. miaFunguka banaaaa!!! usiishie njiani!!!!....Wewe unafikiri kumtaka mwanamke akuzalie mtoto bila kujua hatima yake na ya mtoto ni mchezo!? Mkuu ngoja afunguke huyu
Dalili zako zinaonyesha sio nzuri,kuzaa mtoto haitoshi tu kumbuka mtoto anahitaji malezi ya baba na mama,
Wow! Nimepata wa kuzaa nae aisee njoo uku basi me mwenyewe sina mpango wa kuolewa bt nina42!
nashukuru kwa ushauri wako .......its realy true, wengi wapo/tupo kwenye ndoa lakini we really don't enjoy. Tunaishi maisha ya kinafiki daily.Mkuu wewe endelea na nia yako,wangapi wapo kwenye ndoa lakini hawana muda wa malezi kwa watoto wao.Ni mipango tu na makubaliano,binafsi naona inawezekana.Ndoa zenyewe zimekuwa za kinafiki tu ili kujipamba mbele ya jamii wakati kutwa ni michepuko na kulizana tu.