Natafuta mwanamke wa kuzaa nae

Natafuta mwanamke wa kuzaa nae

katoko

Member
Joined
Jan 4, 2015
Posts
18
Reaction score
6
Habari,

Mimi ni mwanaume mwenye miaka 28yrs,natafuta mwanamke wa kunizalia mtoto.

Kwa mawasiliano zaidi ni Pm
 
Soo akizaliwa tuu unamchukua...? Kuna la hasha hapo..? Soo utampa kila huduma duuuuuuhhh una kambi nin ama ndo wazani kila manzi n wakufanyiwa "INYUMBA INTOBA"
 
Weka matumizi , sababu yakutaka kuzaa na usie mjua, Dau kiasi gani, Mtoto malezi , wewe kabila gani, dini gani, wazee wako wako hai?
 
Kuzaa bila ndoa sio fashen
Ni uzinifu
Ni dhambi
Ndio maana watoto wa mitaani/panyadiro hawapungui

TUOANE NDIO TUZALISHANE
 
Kuzaa bila ndoa sio fashen
Ni uzinifu
Ni dhambi
Ndio maana watoto wa mitaani/panyadiro hawapungui

TUOANE NDIO TUZALISHANE

huyu bwana kwanza afute kauli yake atafuta mwanamke wa kuzaa nae kwani mwanamke ni ng'ombe? umri wenyewe miaka 28 kijana mdogo anayetakiwa kuoa tena kwa arusi sasa uko kuzaa nje ya ndoa si niuzinzi?
 
huyu bwana kwanza afute kauli yake atafuta mwanamke wa kuzaa nae kwani mwanamke ni ng'ombe? umri wenyewe miaka 28 kijana mdogo anayetakiwa kuoa tena kwa arusi sasa uko kuzaa nje ya ndoa si niuzinzi?

Afate utaratibu ili awe na amani kwenye kifua chake..
Na hata hao watoto anaowataka waje kuwa na amani kuwa walizaliwa ndani ya ndoa!

Ndoa halali alafu HESHIMA!
Cjui kwa nini wengi wanajisahaulisha kuoa wanawaza tu kuzaa!

Wanashindwa kujitofautisha kati ya wao(binadamu) na wanyama!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom