Coza Mhando
Senior Member
- Dec 14, 2010
- 194
- 7
- Thread starter
- #81
Mm ndugu yangu haya ndiyo maendeo au.Mchumba unatafuta kwenye mtandao.Ni vema ukatumia ndugu zako ambao ninaamini unao au hata rafiki zako. Wape ndugu/rafiki zako hizo qualifications kama nia yako ni njema kweli sio ku-sample tu.Mbinu unayotumia wewe itakupeleka pabaya au upate ukimwi au uoe jini.
hapan shakha,ushauri wako unafanyiwa kazi,
mhh,hivi ni kweli laweza patikana jini humu?,