Nashukuru MadameX kwa ushirikiano wako,
Kwa kifupi nina elimu ya chuo toka CBE-dodoma(ADA),Ni mrefu wa wastan,
sipendi makuu,napenda ukweli na nachukulia changamoto za maisha kama potential opportunities toward success.,
Na wee ulitoa ngapi mzee hata ukapata gamba la CBE, maana pale mkwanja tu kwa kwenda mbele.