Natafuta mwanamke wa kuoa

Natafuta mwanamke wa kuoa

james78

Member
Joined
Sep 25, 2015
Posts
24
Reaction score
0
Kama heading ilivyo,

Natafuta mwanamke wa kumuoa ambae amepitia magumu katika mahusiano ya awali ili tufarijiane, awe na nia ya dhati ya kuingia kwenye ndoa. Aliye tayari kupenda tena, awe na miaka kati ya28 mpaka 36, anayejua maisha. Mimi nina miaka 36 mfanyabiashara mengine tutajulishana.

Kwayeyote aliye seriuos anipm kwa mawasiliano zaidi.

Sitajibu mzaha wowote.

Asanteni.
 
James 78 huyo mke unayetaka kumuoa ni mke wa kwanza au wa pili. Hujasema kabila . Magumu kama Yapi aliyeachika au kufiwa na mumewe
 
Sasa hata hujajieleza sifa zako mfano kama wewe ni handsome, una urefu gani, elimu, nk
Mwenyewe inaonyesha huna makuu shida yako alieumizwa tu.
 
James 78 huyo mke unayetaka kumuoa ni mke wa kwanza au wa pili. Hujasema kabila . Magumu kama Yapi aliyeachika au kufiwa na mumewe

Hapana si WA kwanza bwana chipolopolo WA kwanza aljfariki kwa ajari ya Pkpk mwaka juzi. Anaweza kuwa aliyefiwa kama Mimi au aliyeachwa.
 
Sasa hata hujajieleza sifa zako mfano kama wewe ni handsome, una urefu gani, elimu, nk
Mwenyewe inaonyesha huna makuu shida yako alieumizwa tu.

Mengine jimena silazima kuyaweka wazi, atakayetokea pm tutafahamishana zaidi, kikubwa ni utayari tu.
 
Kama heading ilivyo,

Natafuta mwanamke wa kumuoa ambae amepitia magumu katika mahusiano ya awali ili tufarijiane, awe na nia ya dhati ya kuingia kwenye ndoa. Aliye tayari kupenda tena, awe na miaka kati ya28 mpaka 36, anayejua maisha. Mimi nina miaka 36 mfanyabiashara mengine tutajulishana.

Kwayeyote aliye seriuos anipm kwa mawasiliano zaidi.

Sitajibu mzaha wowote.

Asanteni.
Hayo maeneo ya bold umeshaharibu rafiki.......Hawa viumbe wajanja sana ktk kumjua mtu kwa kuunganisha maneno na maandishi....Sijui lakini, nisiwasemee
 
Hayo maeneo ya bold umeshaharibu rafiki.......Hawa viumbe wajanja sana ktk kumjua mtu kwa kuunganisha maneno na maandishi....Sijui lakini, nisiwasemee

Badala yake ningetumia maneno gani ndugu?
 
Kama heading ilivyo,

Natafuta mwanamke wa kumuoa ambae amepitia magumu katika mahusiano ya awali ili tufarijiane, awe na nia ya dhati ya kuingia kwenye ndoa. Aliye tayari kupenda tena, awe na miaka kati ya28 mpaka 36, anayejua maisha. Mimi nina miaka 36 mfanyabiashara mengine tutajulishana.
mimi nna 32 sijapitia mengi kwenye maisha ila nimesoma mengi,naishi na Dad kupenda tena sio rahisi lakini ntajaribu fursa ikipatikana,lakini nijue wewe mtu wawapi,dini gani,unaishi wapi .....Karibu Tanga.............
 
Hapana si WA kwanza bwana chipolopolo WA kwanza aljfariki kwa ajari ya Pkpk mwaka juzi. Anaweza kuwa aliyefiwa kama Mimi au aliyeachwa.

Ok Nina rafiki yangu sema ni mkristo na ww hujasema dini yy hajaolewa alizaa tu anatafuta mume Tuma contact muwasiliane hayuko jf
 
Kama heading ilivyo,

Natafuta mwanamke wa kumuoa ambae amepitia magumu katika mahusiano ya awali ili tufarijiane, awe na nia ya dhati ya kuingia kwenye ndoa. Aliye tayari kupenda tena, awe na miaka kati ya28 mpaka 36, anayejua maisha. Mimi nina miaka 36 mfanyabiashara mengine tutajulishana.
mimi nna 32 sijapitia mengi kwenye maisha ila nimesoma mengi,naishi na Dad kupenda tena sio rahisi lakini ntajaribu fursa ikipatikana,lakini nijue wewe mtu wawapi,dini gani,unaishi wapi .....Karibu Tanga.............

Naishi dar mengne ntayajibu ukija pm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom