james78
Member
- Sep 25, 2015
- 24
- 0
Kama heading ilivyo,
Natafuta mwanamke wa kumuoa ambae amepitia magumu katika mahusiano ya awali ili tufarijiane, awe na nia ya dhati ya kuingia kwenye ndoa. Aliye tayari kupenda tena, awe na miaka kati ya28 mpaka 36, anayejua maisha. Mimi nina miaka 36 mfanyabiashara mengine tutajulishana.
Kwayeyote aliye seriuos anipm kwa mawasiliano zaidi.
Sitajibu mzaha wowote.
Asanteni.
Natafuta mwanamke wa kumuoa ambae amepitia magumu katika mahusiano ya awali ili tufarijiane, awe na nia ya dhati ya kuingia kwenye ndoa. Aliye tayari kupenda tena, awe na miaka kati ya28 mpaka 36, anayejua maisha. Mimi nina miaka 36 mfanyabiashara mengine tutajulishana.
Kwayeyote aliye seriuos anipm kwa mawasiliano zaidi.
Sitajibu mzaha wowote.
Asanteni.