Uduvi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 738
- 521
Wadau habari! Natafuta mwanamke mzuri wa mkoa wa mbeya. Awe chocolate colour, elimu kuanzia form six na kuendelea. Mim ni msc ya accounting n finance holder wa mzumbe niligraduate mwaka jana, kwa sasa nipo morogoro.
Kwa anaehitaji tuwasiliane kwa maelezo zaidi. kwa alie tayari anipm tafadhari.
Lugha za kejeli na matuc sio mahala pake hapa
Kwa anaehitaji tuwasiliane kwa maelezo zaidi. kwa alie tayari anipm tafadhari.
Lugha za kejeli na matuc sio mahala pake hapa