hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,446
- 6,311
- Thread starter
- #21
Duuuuh aiseee hali ni mbaya.
Watu wameambiwa waende PM lakini wameamua kuchangamkia fursa hapahapa jukwaani,sipatii picha huko PM!
Nyie wanaume mnaotafuta wanawake humu (hasa mnaosema mnataka kuwaoa) muwe serious jamani,msicheze na mioyo ya dada zenu.
Sijaongelea upande wa wanawake maana daima sisi huwa tunamaanisha,sidhani kama kuna mwanamke anayeweka thread ya kumtafuta mume akawa hayupo serious.
im very serious