Natafuta mwanamke wa kuoa

Natafuta mwanamke wa kuoa

Half B

Member
Joined
Sep 12, 2016
Posts
30
Reaction score
12
Mimi ni kijana wa miaka 31, nimwajiliwa serikalini, nahitaji mwanamke wa kuishi naye kama mke.

Sifa;
1.Mrefu
2.Mweupe
3.Mcha Mungu
4.Awe tayari kuishi mazingira ya kijijini kwa wakati huu.

Aliye tayari ani pm kwa mawasiliano zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom