nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 6,280
- 7,774
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28. Kazi yangu ni mfanyabiashara wa kawaida. Naishi DSM. Nahitaji mwanamke mwenye umri tajwa hapo juu.
Mwanzo nilikuja na tangazo la kutafuta mwanamke ambaye hataki kuzaa au anamatatizo ya uzazi ili kuwa naye, naona wote humu wanauzazi. Leo nimekuja na hili nikiwa naamini lazima atajitokeza yule wa maisha yangu.
Vigezo vya mwanamke huyo ninauemhitaji,
Kwanza kabisa ni umri tajwa hapo juu (35 - 45) yrs
Pili awe mwenye kujishughulisha na kazi yoyote ya kipato halali isipokua kujiuza mwili wake.
Tatu awe na mwonekano mzuri ambao hata nikienda kwa wazazi hawata uliza uliza mara mbili.
Nne awe mwenye kujiheshimu na kuheshimu wengine.
Lengo la kutafuta mwanamke aliyenizidi umri ni kwasababu sipendi mikwaruzo pamoja na mizozo kutoka kwa wasichana wadogo. Ninachoamini ni kwamba mwanamke aliyenizidi umri atakua mwongozo na mlezi mzuri kwangu. Hivyo heshima itakuwepo kati yetu.
Mawasiliano yangu ni 0719094595
Pm hazifunguki hivyo ni bora kupiga simu moja kwa moja au meseji au whatsap.
Karibuni sana.
Mwanzo nilikuja na tangazo la kutafuta mwanamke ambaye hataki kuzaa au anamatatizo ya uzazi ili kuwa naye, naona wote humu wanauzazi. Leo nimekuja na hili nikiwa naamini lazima atajitokeza yule wa maisha yangu.
Vigezo vya mwanamke huyo ninauemhitaji,
Kwanza kabisa ni umri tajwa hapo juu (35 - 45) yrs
Pili awe mwenye kujishughulisha na kazi yoyote ya kipato halali isipokua kujiuza mwili wake.
Tatu awe na mwonekano mzuri ambao hata nikienda kwa wazazi hawata uliza uliza mara mbili.
Nne awe mwenye kujiheshimu na kuheshimu wengine.
Lengo la kutafuta mwanamke aliyenizidi umri ni kwasababu sipendi mikwaruzo pamoja na mizozo kutoka kwa wasichana wadogo. Ninachoamini ni kwamba mwanamke aliyenizidi umri atakua mwongozo na mlezi mzuri kwangu. Hivyo heshima itakuwepo kati yetu.
Mawasiliano yangu ni 0719094595
Pm hazifunguki hivyo ni bora kupiga simu moja kwa moja au meseji au whatsap.
Karibuni sana.

