natafuta demu wa kunipa mambo haya ,mimi nafanya kazi kwenye taasisi binafsi kama finance manager ila na wewe ukija uwe na kazi yoyote kifupi uwe unajishughulisha 34 age nipo dar
1.furaha
2.furaha
3.story
4.connection
5.ushauri wa maisha
natafuta demu wa kunipa mambo haya ,mimi nafanya kazi kwenye taasisi binafsi kama finance manager ila na wewe ukija uwe na kazi yoyote kifupi uwe unajishughulisha 34 age nipo dar
1.furaha
2.furaha
3.story
4.connection
5.ushauri wa maisha
Wewe sema straight usipige kona kona nyingi sema unatafuta manzi wa kupunguzia upwiru, humu ni jukwaa huru utapata ukianza kupigapiga makonzi mengi utaambulia manyonya tu