Natafuta mwanamke longterm relationship kisha tuoane

Natafuta mwanamke longterm relationship kisha tuoane

mmp

Member
Joined
Sep 10, 2014
Posts
33
Reaction score
2
Habari,

Natafuta mwanamke wa kuoa mwakani,elimu yangu ni shahada ya biashara (uhasibu),naishi Dar umri wangu ni miaka 31.nimtakae awe na miaka 25-33,awe mweupe,asiwe na mtoto,elim shahada,mwenye mapenzi ya dhati na mvumlvu,ambae anahofu ya mungu,alie jiajiri au kuajiriwa nahitimisha.

Karibu sana
 
Habari Natafuta Mwanamke Wa Kuoa Mwakani,elimu Yangu Ni Shahada Ya Biashara (uhasibu),naishi dar,umri wangu ni miaka 31.nimtakae awe na miaka 25-33,awe mweupe,asiwe na mtoto,elim shahada,mwenye mapenz ya dhati na mvumlvu,ambae anahofu ya mungu,alie jiajiri au kuajiriwa.nahitimisha karibu sana
Mkuu mtandaoni watu wana-act tu, utaishia kupotezewa muda na kutapeliwa kimapenzi, sali sana umuombe Muumba akupatie mke mwema.
"Mke mwema hatafutwi, mke mwema anakutanishwa nawe muda maalum ukifika"
 
Wewe acha kumkatishs mwenzio tamaa na sijui kwa hayo mawazo yako mabaya umefungulia nini hapa aaaagggghh!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom