Inshallah tuombe kheri nipate aliye mwemaWatakuja jf wako wengi........kuna wale ambao kila uzi wa kutafuta wachumba wanajitokeza wanakuja kucoment soon.
Single moms, wasichana wanafunzi nao wamo humu wanajifanya wadada wakubwa, ladies ambao bikra zilishatolewa 30yrs ago nk wote wamo utachagua mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi katika jambo lako.
Maa shaa Allah.WALYKUM, SALAAM MIMI NIPO TAYARI NA NINA VIGEZO UNAVYOVIHITAJI NI CHECK KWA NAMBA . AHSANTE.
Umri umenikosesha mumeAssalaam alaykum Warahmatullah Wabarkatuh!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31, dini yangu ni muislam, ni mwembamba wa wastani pia ni mrefu, rangi yangu ni maji ya kunde, elimu yangu ni form IV na nimeajiriwa na kampuni moja ya usafirishaji fedha na vitu vya thamani hapa mjini.
Mwanamke/Binti ninayemuhitaji
Awe na Sifa zifuatazo;
1.Muislam mwenye kuijua dini yake.
2.Awe na hofu ya Mungu.
3.Awe tayari kuishi maisha ya ndoa/mke na mume
4.Mwenye maadili mema na kujistiri mwili wake.
5.Rangi yoyote ila kama ni mweupe asiwe amejichubua.
RAMADHAN KARIIM.
Ulipata mkuuAssalaam alaykum Warahmatullah Wabarkatuh!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31, dini yangu ni muislam, ni mwembamba wa wastani pia ni mrefu, rangi yangu ni maji ya kunde, elimu yangu ni form IV na nimeajiriwa na kampuni moja ya usafirishaji fedha na vitu vya thamani hapa mjini.
Mwanamke/Binti ninayemuhitaji
Awe na Sifa zifuatazo;
1.Muislam mwenye kuijua dini yake.
2.Awe na hofu ya Mungu.
3.Awe tayari kuishi maisha ya ndoa/mke na mume
4.Mwenye maadili mema na kujistiri mwili wake.
5.Rangi yoyote ila kama ni mweupe asiwe amejichubua.
RAMADHAN KARIIM.
Njoo pmAssalaam alaykum Warahmatullah Wabarkatuh!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31, dini yangu ni muislam, ni mwembamba wa wastani pia ni mrefu, rangi yangu ni maji ya kunde, elimu yangu ni form IV na nimeajiriwa na kampuni moja ya usafirishaji fedha na vitu vya thamani hapa mjini.
Mwanamke/Binti ninayemuhitaji
Awe na Sifa zifuatazo;
1.Muislam mwenye kuijua dini yake.
2.Awe na hofu ya Mungu.
3.Awe tayari kuishi maisha ya ndoa/mke na mume
4.Mwenye maadili mema na kujistiri mwili wake.
5.Rangi yoyote ila kama ni mweupe asiwe amejichubua.
RAMADHAN KARIIM.