Uliishawahi uuliza baba yako namna alivyopata mke?
kama kichwa kinavyosema. elimu at least form 4, dini yeyote. upole na ukarimu ni added advantages. mi ni 27 yrs old. mkristo. naweza kukutunza, kukugegeda, kukupenda na kukulinda. ambaye yuko interested ani PM tufanye maongezi ya awali. vigezo na masharti kuzingatiwa.
Note: tangazo ni serious.
ufupi is natural but virginity is not something natural wewe umewabanjuwaa wewee hao uliokuwa unawabanjua unataka waolewe na nani?kama mimi ni mfupi haimaanishi sina haki ya kuchagua mwanamke mrefu au kuweka kigezo cha urefu kwa mwanamke nimuoae.
kwani kuna ya wapi na wapi? inaweza kuwa sielewi ninachotaka.
labda tuseme mimi sijasoma au siyo mtanashati, je siruhusiwi kuweka kigezo cha usafi na usomi kwa mke nimtakaye?.ufupi is natural but virginity is not something natural wewe umewabanjuwaa wewee hao uliokuwa unawabanjua unataka waolewe na nani?
kigezo ambacho wewe mwenyewe umeshindwa kukitimiza?labda tuseme mimi sijasoma au siyo mtanashati, je siruhusiwi kuweka kigezo cha usafi na usomi kwa mke nimtakaye?.