Thesnooperman
Member
- Jul 3, 2013
- 57
- 6
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 34, ninaishi Mbeya. Natafuta mwanamke mwenye umri kati ya miaka 30 hadi 34, awe mkazi wa Mbeya na asiwe na watoto zaidi ya wawili.
Awe tayari kuishi nami endapo tutafikiana.
Aliyetayari anaweza kuwasiliana nami kwa mazungumzo zaidi.
Awe tayari kuishi nami endapo tutafikiana.
Aliyetayari anaweza kuwasiliana nami kwa mazungumzo zaidi.