Natafuta mwanamke ambaye atakuwa mke wangu

Natafuta mwanamke ambaye atakuwa mke wangu

Thesnooperman

Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
57
Reaction score
6
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 34, ninaishi Mbeya. Natafuta mwanamke mwenye umri kati ya miaka 30 hadi 34, awe mkazi wa Mbeya na asiwe na watoto zaidi ya wawili.

Awe tayari kuishi nami endapo tutafikiana.

Aliyetayari anaweza kuwasiliana nami kwa mazungumzo zaidi.
 
Ukimpata kila mkiwa pamoja unawaza huyu nimepata kwa tangazo
 
huna kinyaa mzee unataka kuunganika kwenye familia ya mwanaume mwenzio.

tafuta mwanamke wako uanzishe familia
 
😁😁😁😁

Aiseee
d3499d773d6ce0f7e7abf15ab3da3514~2.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom