Profesa wa Maliasili JF-Expert Member Feb 10, 2018 632 1,893 Oct 19, 2023 #1 Kama somo inavyosomeka hapo juu wakuu, anahitajika mwalimu wa compyuta kufundisha namna ya kuandaa na kutuma taarifa za ofisi.
Kama somo inavyosomeka hapo juu wakuu, anahitajika mwalimu wa compyuta kufundisha namna ya kuandaa na kutuma taarifa za ofisi.
Morning_star JF-Expert Member Apr 21, 2018 4,177 11,504 Oct 19, 2023 #2 Njoo pm au unatakaje? Niko hapa! Niko vizuri
Profesa wa Maliasili JF-Expert Member Feb 10, 2018 632 1,893 Oct 19, 2023 Thread starter #3 Lacation ni Dar es salaam